Heri ya Sikukuu ya Mapinduzi ya Zanzibar, 2024 Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa kumi na nne (14) wa Chama Taifa uliofanyika katika ukumbi wa Mapango ya Amboni uliopo ofisi za Halmashauri ya Jiji la Tanga, tarehe 20/12/2023 wakiwa katika picha ya pamoja Eid al-Adha Mubarak, 2023

Latest News

HISTORIA YA THTU (Historical Background)

Uanzishwaji wa THTU ni matokeo ya kamati za viongozi kutoka matawi ya Vyuo Vikuu vya Umma Tanzania, ambavyo vilifanya kazi kubwa kuanzia mwaka 1998 hadi 2008, lengo likiwa ni kudai maslahi bora, kuunganisha nguvu za pamoja na kuitaka Serikali yetu kuboresha mazingira ya kazi ya wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania. Kamati za viongozi kutoka Taasisi hizo mwaka 2005 waliunda jopo la pamoja la vyama vya wafanyakazi, vyama vya kitaaluma na mabaraza ya wafanyakazi, kwa nguvu na mshikamano ndiyo iliyopelekea kuundwa kwa kamati ya Rais ya kuangalia matatizo ya wafanyakazi kutoka Taasisi za Elimu ya Juu. Huo ndio ukawa mwanzo wa kuzaliwa kwa chama cha wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (THTU).

Welcome to THTU

Tanzania Higher Learning Institutions Trade Union (THTU) ni chama kilicho sajiliwa tarehe 12/12/2008 na kupata usajili Na. 23 (reg.23) chini ya sheria inayosajili vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini, Na.6 ya mwaka 2004). THTU inajumuisha wafanyakazi wa vyuo vikuu, Vyuo vikuu vishiriki...

welcome

THTU News

THTU Videos

Tujikumbushe Msingi wa Kuwepo kwa Vyama vya Wafanyakazi Nchini Tanzania kutoka kwa Hayati Rais Dkt. John Pombe Magufuli

Kwa kuzingatia madhumuni ya chama ndani ya miaka 11 tumefanikiwa kufikia malengo kadhaa wa kadha.

Lengo likiwa kinga, kulinda na kuangalia ustawi wa wafanyakazi wakati huo kuangalia njia za kusaidia kupunguza athari za kiuchumi kwa wafanyakazi.

Registered Members

Universities

Branches